Ukikutana na Simba Uso kwa Uso Fanya Hivi ili Asikutafune Mzima Mzima


Wataalamu wa masuala ya wanyama wanasema ukikutana na simba usimkimbie bali mtazame usoni, kwani kutokana na hilo Simba ana kawaida ya kuona aibu na kukuaacha uende zako.

Je, wewe ukikutana naye utatoka nduki au utafuata ushauri wa wataalamu?

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad