Ambulance Yakamatwa Ikiwa Imebeba Kilo 800 za Dawa za Kulevya Aina ya Mirungi

Ambulance Yakamatwa Ikiwa Imebeba Kilo 800 za Dawa za Kulevya Aina ya Mirungi
Gari ya kubebea wagonjwa (Ambulance) ya Hospitali ya Wilaya ya Tarime yenye namba za DFPA 2955 imekamatwa ikiwa imebeba Kilo 800 za Dawa za Kulevya aina ya Mirungi.

RPC wa Mara Juma Ndaki amethibitisha kukamatwa kwa gari hilo na watu wawili, gari ilikuwa inatoka Mwanza kwenda Tarime.

Akiongea na AyoTV Kamanda Ndaki amesema “Tumewakamata na Mirungi Kilo 800, tunawashikilia watu wawili, gari ilikuwa inatoka Mwanza kwenda Tarime, ushauri wangu tuwe makini tunapoajiri Madereva serikalini,”





Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad