Babu Tale "Nimegundua Bongo kuna Mpausha na Kumkondesha Diamond "


Babu Tale "Nimegundua Bongo kuna Mpausha na Kumkondesha Diamond "
_

Regrann from #babutale - Nimegundua bongo kunampausha msanii wangu. Videmu,madeni ya wasanii,kusimamia tv kama alishawahi kua nayo utotoni,kusakamwa,kukesha kila siku studio utazani msanii aliyetoka juzi sasa anaogopa kufeli,kujitia udairecta kwenye kila kazi za wasanii wa wasafi na kazi zake utazani alisomea utotoni. Nilichoamua ni kuongea na Universal kijana abaki uku mpaka msimu wa Wasafi festival. Mjue uwa mnaniumiza mkiwa mnamsakama msanii wangu kakonda mpaka mnafikia atua ya kumfananisha na Mareham Bi kidude😂😂😂😂 Sasa nimeamua arudi na naamini Universal watanisaidia maana mwenyewe siwezi #ABoyFromTandaleUSATour

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad