Breaking News: Lebron James Aikacha Cleveland, Asajiliwa Lakers Kwa Bilion 351,320,200,000

BREAKING NEWS!!!
Inaripotiwa kuwa Siku Mbili tu baada ya LeBron James kumaliza Mkataba wake na timu ya CLEVELAND Amepata Deal na amekubali Kusaini na Timu ya Kikapu ya LAKERS Kwa Dola za Kimarekani Milioni 154, sawa na Pesa za kitanzania Shilingi Bilioni 351,320,200,000 kwa Mkataba wa Miaka Minne.

Historia inasema alikuwepo Kareem Abdul-Jabbar bila kusahau Magic Johnson na kisha akafuata Kobe Bryant “Black Mamba”. Alfajiri ya Leo mchezaji Lebron James amehama kutoka Cleveland Cavaliers ambako alikataa kuendelea na Mkataba na ametua Los Angeles Lakers. Swali pekee ni kuwa, je atafikia mafanikio ama kuwafunika hao waliomtangulia kwenye mioyo washabiki wa Lakers?
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad