Breaking News:Rais Magufuli Ateuwa Wakuu wa Wilaya na Mikoa Wapya, Jokate na Jerry Muro Ndani

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemteuwa Jokate kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Pwani pamoja na Jerry Muro kuwa Mkuu wa Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha.

 Rais Magufuli ametangaza hayo Jumamosi hii katika mabadiliko ya wakuu wa Mikoa na Wilaya  ambapo pia amewateua Mosese Machali kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu na Patrobas Katambi ambaye amewahi kuiwa Mwenyekiti wa BAVICHA kabla ya kuamia CCM kuwa Mkuu wa Wilaya ya Dodoma.

 Pia Rais Magufuli amemteuwa Daniel Godfrey Chongolo kuwa Mkuu wa Wilaya ya  Kinondoni na na Ally Hapi ambaye alikuwa akikalia kiti hicho amekuwa mkuu wa Mkoa wa Iringa.

 Naye David Kafulila ameteuliwa kuwa Katibu Tawala Mkoa wa Songwe.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad