COSTECH Waikubali Barua Walioiandikia TWAWEZA

COSTECH Waikubali Barua Walioiandikia TWAWEZA
MKURUGENZI Mkuu wa Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH),  Amos Nungu,  amekiri kuwa barua iliyosambaa mitandaoni kwenda taasisi ya utafiti ya Twaweza  ni yao.

Nungu aliyasema hayo leo ofisini kwake wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu barua iliyotumwa na tume yake kwenda Twaweza ikiwataka kujieleza kwa kuendesha utafiti bila ya kibali cha tume yake.

Kiasi cha wiki mbili zilizopita, Twaweza ilifanya utafiti kuhusu hali ya siasa na wanasiasa nchini na kutoa matokeo yake.


Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad