Dudu Baya Amvaa Muna..... Amwambia Nay wa Mitego Mwanamke Asiye Kamili ana Homoni zote Mbili

Dudu Baya Amvaa Muna.....  Amwambia Nay wa Mitego Mwanamke Asiye Kamili ana Homoni zote Mbili
Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva nchini, Dudubaya amedai kwa kitendo alichokifanya Muna kuzungumza na vyombo vya habari kabla ya 40 ya mtoto wake Patrick sio kizuri. Pia rapper huyo amemchana Nay Wamitego kwa kumshambulia Shilole kwa maneno yake aliyomtolea Muna

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad