Esma Amnanga Hamisa Mobetto 'Anatabia Mbaya Ndio Maaana Hatuna Time Nae'

Dada wa msanii Diamond Platinumz  Esma Platinumz amefunguka na kusema kuwa kwa upande wa familia yao hawana kinyongo kabisa na mwanadada Hamisa Mobeto ambae amezaa na kaka yao mtoto mmoja wa kike kama ambavyo inazagaa katika mitandao ya kijamii kwa sababu hawajawahi kusema  swala hilo.

Akiongea katika hafla ya mtoto wa zamaradi, Esma anasema kuwa hamisa amekuwa akijihisi kuwa anachukiwa lakini ukweli ni kwamba hakuna kitu kama hicho.

Yeye anajihisi tu , alkini ukweli ni kwamba hatuna muda nae, hatuna time nae, wala hatumjali sana,hatuna stori nae na ndio maana hata tukicomment hatumtagi mtu.kwakweli hatuna muda na mtu.

Esma alipoulizwa kuhusu  swala la kwamba wamekuwa wakimchukia moto wa Hamisa na Hamisa mwenyewe na hata kufikia hatua ya Diamond kuwaomba ndugu zake kumpenda mtoto wake Esma anajibu

“Sijawahi kutamka kuwa namchukia mtoto wake na mbona nina mposti sana, sema saa zingine tabia za mama zinaweza  kuchangai kwa kiasi kikubwa kumdhuru mtoto pia

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad