Gari Ndogo Yateketea kwa Moto Daraja la Kigamboni

Gari Ndogo Yateketea kwa Moto Daraja la  Kigambo
AJALI mbaya imetokea leo Jumatatu, Juni 2, 2018 asubuhi baada ya gari dogo aina ya IST kuteketea kwa moto katika Daraja la Nyerere (Kigamboni), jijini Dar es Salaam.


Inadaiwa kuwa, ajali hiyo imetokea wakati dereva wa gari hilo akilipia fedha ili avuke ng’ambo.


Chanzo cha moto huo bado hakijafahamika, huku kukiwa hakuna taarifa ya majeruhi wala vifo vilivyoripotiwa kutokana na ajali hiyo.


Kwa taarifa zaidi endelea kufuatilia mitandao yetu.
Tags

Top Post Ad

Below Post Ad