Gigy Money alilimiss Buku la Mo J “Tunataka Kuzaa Mtoto wa Kiume”

Msanii Gigy Money amezungumza baada ya kuoneka wakiwa pamoja na mzazi mwenzake Mo J ambaye ni mtangazaji wa Choice Fm, Gigy amesema kwamba wamerudiana kutokana na wote wawili kuwa wanapendana hata hivyo yale yote aliyozungumza kuhusu Mo J yalikuwa ni hasira ila mtoto ni wa Mo J.
Gigy pia ameongelea suala la wawili hao kupanga kuzaa mtoto mwingine wakiume na ishu ya Mama yake kama kamsamehe Mo J na vipi n inani aliyeanza kumuomba msamaha mwenzie..? Bonyeza PLAY hapa chini kutazama

Top Post Ad

Below Post Ad