Hatimaye Watoto wa Wakimbizi Wakutanishwa na Wazazi Wao

Hatimaye Watoto wa Wakimbizi Wakutanishwa na Wazazi Wao
WAKATI wazazi kadhaa wakimbizi,  wengi wao kutoka Mexico wakiunganishwa na watoto wao waliotenganishwa nao kwenye mpaka wa Marekani na Mexico miezi kadhaa iliyopita kutokana na sera za Rais Trump wa Marekani, wengi wao wanasubiri kuwaona watoto wao.

Watoto kadhaa jana (Jumanne) waliungana na wazazi wao kwa chereko huko Michigan.

Hilo limetokea baada ya Idara ya Uhamiaji kusema wakimbizi hao watakuwa huru wakati matatizo yao yakishughulikiwa na mahakama ya uhamiaji.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad