Jibu la Lady Jaydee kwa Shabiki Kuhusu Tuhuma za kujichubua


Jibu la Lady Jaydee kwa shabiki kuhusu tuhuma za kujichubua
Malkia wa muziki wa Bongo Fleva nchini Lady Jaydee amejikuta katika tuhuma nzito kutoka kwa baadhi ya mashabiki wake.

Jide anatuhumiwa kuanza kujichubua na kupoteza muonekano wake wa zamani.

Sakata hilo limeibuka baada ya Jaydee kupost picha yake kwenye mtandao wa Instagram akiwa na muonekano kabambe wa kuvutiana na kuandika, "🖤 Black Woman 🖤."

Hapo aliibuka shabiki mmoja kwa kuandika comment inayosomeka, "Black Woman zamani Mama cku hizi unajichubua."

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad