Kauli wa Kocha wa Ufaransa baada ya Ushindi "Ubingwa Wetu ni Miujiza"

Kauli wa Kocha wa Ufaransa baada ya Ushindi "Ubingwa Wetu ni Miujiza"
Ubingwa wa Ufaransa ni wa ''kutoka kwa mungu'' baada ya "uchungu" wa kupoteza fainali ya mataifa bora Ulaya 2016, alisema kocha wake Didier Deschamps.

Walipoteza 1-0 dhidi ya Ureno fainali ya Euro 2016, wakiwa wenyeji.

Les Bleus iliilaza Croatia 4-2 Moscow siku ya Jumapili na kuwa mabingwa wa dunia kwa mara ya pili katika historia yao.

"Ni wachezaji wadogo, walioko juu ya mataifa yote katika dunia. Wengine ni mabingwa wakiwa na miaka 19," alifunguka Deschamps, nahodha wa Ufaransa waliponyakua ubingwa 1998.

Alisema ushindi huo "haukumhusu yeye ", akiongeza: "Ni wachezaji walioshinda mechi."


"Hatukucheza mchezo maridadi vile lakini tumeonyesha ukomavu na ubora wa kiakili," aliongeza.

"Licha ya yote, tumefunga mabao manne.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad