Kauli ya Kwanza ya Jerry Muro baada ya Uteuzi wa Rais Magufuli

Baada ya July 28, 2018 Rais John Pombe Magufuli kufanya mabadiliko madogo ya baadhi ya viongozi ikiwemo wakuu wa Wilaya, Mikoa pamoja na makatibu wakuu Ayo TV imepata nafasi ya kufanya mahojiano na Jerry Muro ambaye yeye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Arumeru ambapo amefunguka mengi.

VIDEO:
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad