
"Nimeenda upinzani kwa maslahi ya nchi hii na kwa faida ya CCM"- kauli aliyoitoa Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Frederick Sumaye mbele ya Rais Magufuli jana walipokutana viongozi wote wastaafu.
Watu mbali mbali wamekua wakihoji kauli hiyo Ina maanisha nini