Kauli ya Sumaye ya Kwamba Alienda Upinzani Kwa Faida ya CCM Yawachanganya Wengi


"Nimeenda upinzani kwa maslahi ya nchi hii na kwa faida ya CCM"- kauli aliyoitoa Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Frederick Sumaye mbele ya Rais Magufuli jana walipokutana viongozi wote wastaafu.

Watu mbali mbali wamekua wakihoji kauli hiyo Ina maanisha nini

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad