Kimenuka...Wachezaji Waliokosa Penati Jana Usiku Kombe la Dunia Watishiwa Kuuawa


Wachezaji wa timu ya taifa ya Colombia Carlos Bacca na Mateus Uribe wametishiwa kuuawa na baadhi ya mashabiki kupitia mitandao ya kijamii baada ya kukosa penati katika mchezo dhidi ya Uingereza na kuifanya timu yao iage michuano ya Kombe la Dunia nchini Urusi.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad