Kupoteza World Cup 2018 hakujawafanya Croatia wasipokelewe kishujaa


Timu ya taifa ya Croatia baada ya kupoteza katika mchezo wa fainali ya Kombe la Dunia 2018 imewasili kwao katika mji wa Zagreb na kupokelewa na mashabiki mbalimbali wa soka wa nchi hiyo, kwani ndio mara ya kwanza kwa taifa lao kufika fainali ya World Cup.



Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad