Mchezaji Kombe la Dunia Atimkia Tanzania Baada ya Kutolewa


Kiungo wa timu ya taifa ya Spain 🇪🇸 na klabu ya Atletico Madrid Koke yupo mapumzikoni katika mbuga ya NgoroNgoro Tanzania - Koke alikuwa miongoni mwa wachezaji wa Spain walioshiriki katika michuano ya Kombe la Dunia na kutolewa katika hatua ya 16 bora.

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad