Mohamed Salah Kuendelea Kuitumikia Liverpool..... Asaini Miaka 5

Mohamed Salah Kuendelea Kuitumikia Liverpool..... Asaini Miaka 5
KLABU ya Liverpool imemsainisha mkataba wa miaka mitano, mshambuliaji Mohamed Salah kuendelea kuitumikia timu hiyo hadi mwaka 2023 huku akiongezewa mshahara mara mbili zaidi kutoka £100,000 hadi £200,000 (Tsh. Milioni 530.9) kwa wiki.

Salah ambaye ameifungia Liverpool mabao 44 katika mechi rasmi 52, alizocheza tangu ajiunge, anakuwa mchezaji wa kwanza kwa Liverpool kulipwa mkwanja mkubwa zaidi kwenye historia ya timu hiyo.

Tags

Top Post Ad

Below Post Ad