Msitumie Magari Kwenda kwa Michepuko Yenu- Waziri Ndalichako

Msitumie Magari Kwenda kwa Michepuko Yenu- Waziri Ndalichako
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako kwa niaba ya Serikali amekabidhi magari 47 kwa ofisi za uthibiti ubora wa shule za kanda na Wilaya pamoja na baraza la mitihani Tanzania kwajili ya kusaidia  kuongeza ubora wa elimu nchini.

Prof Ndalichako amesema…>>>“Haya ni magari kwa ajili ya ufuatiliaji wa elimu na ninaagiza kwamba yasitumike tofauti na masuala ya elimu, yeyote atakayeenda kinyume kibarua chake kimeota nyasi.”

“Madereva mtakaokabidhiwa haya magari ni moto msije mkacheza nayo, isiwe umetumwa kwenye kazi wewe unaenda kwa michepuko yako. Utakiona cha mtemakuni” –Prof Joyce Ndalichako

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad