Mwarabu Akanusha tetesi za Kutimuliwa WCB

Mwarabu Akanusha tetesi  za Kutimuliwa WCB
Baunsa anayemlinda Msanii wa Bongo Fleva, Nassib Abdul ‘Diamond Platnumz’ anayefahamika zaidi kwa jina la Mwarabu Fighter amefungukia tetesi zinazosambaa mitandaoni zikidai kuwa amefukuzwa kazi na nafasi yake imeshikiliwa na mtu ambaye tunamuona hivi sasa akiwa anamlinda Mbongo fleva huyo.

Mwarabu amekanusha tetesi hizo na kusema kuwa bado yupo WCB na anaendelea kufanya kazi na Diamond kama kawaida, kutokumuona naye ni kwa sababu ya taratibu za kiofisi ambazo hawezi kuziweka wazi ila siku yoyote tutamuona naye.

 Mwarabu amefunguka hayo alipokuwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokwenda kutoa nyuzi alizowekewa siku chache zilizopita baada ya kupata ajali.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad