Nicki Minaj Amtumia Cardi B zawadi ya Dola 5,000 Baada ya Kujifungua

Nicki Minaj amtumia Cardi B zawadi  ya Dola 5,000
Baada ya taarifia kusambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusiana na ujio wa mtoto wa kike katika familia ya Cardi B pamoja na Offset ambao walibahatika kupata mtoto July 10,2018 Nicki Minaj afurahishwa na taarifa hizo na kutuma zawadi.

Zawadi alizotuma Nicki Minaj zinatajwa kufikia thamani ya Dola 5,000 ambazo ni sawa na zaidi ya Shilingi Milioni 11 za kitanzania ingawa hapo awali wawili hao waliwahi kuhusishwa katika bifu na kukanusha bifu hilo na kuonekana pamoja katika maonyesho ya mavazi ya Met Gala mwaka huu 2018.

Inadaiwa kuwa kwa sasa Cardi B pamoja na Nicki Minaj wamekuwa na ukaribu ingawa wengi wamekuwa wakiwahusisha kuwa wawili hao wanaugomvi.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad