Picha : Ndoa ya Zabibu Kiba na Abdu Banda Yaiva


Picha : Ndoa ya Zabibu Kiba na Abdu Banda Yaiva

Baada ya ndoa za kaka zake wawili kutikisa jiji, mwanadada Zabibu Kiba nae ameibuka na kukamilisha lile walilokuwa wamekamilisja ndugu zake hapo awali la kufunga ndoa na mpezni wake wa siku nyingi Abdul Banda ambae ni mchezaji mpira wa timu ya taifa.

Picha zilizosambaa katika mitandao ya kijamii znaonyesha maandalizi ya kwanza ya harusi hiyo.





Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad