Pretty Kind Ajiweka Alipotoka Wema Sasa Mapenzi MotoMoto na Calisah

Pretty Kind Ajiweka Alipotoka Wema Sasa Mapenzi MotoMoto na Calisah
MSANII wa filamu na muziki Bongo, Suzan Michael ‘Pretty Kind’ anadaiwa kula makom­bo ya msanii mwenzake, Wema Sepetu kwa kutoka kimapenzi na mwanamitindo aliyewa­hi kubanjuka penzini na Wema, Calisah Abdul­hameed.

Kikizungumza na Za Mo­tomoto News, chanzo ma­kini kilieleza kuwa Pretty Kind amekuwa akioneka­na mara kwa mara maeneo ya Sinza, Dar akiwa na Calisah wakionyeshana mahaba niue hivyo ndiye mtu wake kwa sasa.

Za Motomoto News ilimtafuta Pretty Kind akafunguka:“Siyo kweli tupo karibu na Calisah kwa sababu ya kazi na siku ikimalizika mashabiki wataiona.”

Top Post Ad

Below Post Ad