Rais Magufuli Amemteua Eliud Sanga Kuwa Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF

Rais Magufuli Amemteua Eliud Sanga Kuwa Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF
Leo July 22, 2018 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Eliud Sanga kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (Public Service Social Security Fund – PSSSF).



Kabla ya Uteuzi huo Sanga alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pension wa LAPF. Uteuzi wake umeanza rasmi July 21, 2018.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad