Shamsa Ford: Peter ni Baba Mzazi wa Marehemu Patrick Casto Namjua Kama Mtangazaji Tu

Shamsa Ford: Peter ni Baba Mzazi wa Marehemu Patrick Casto Namjua  Kama Mtangazaji Tu
Miongoni mwa mastaa ambao wameendelea kumiminika katia msiba wa mtoto Patrick uliopo Maeneo ya Mwananyamala ni Shamsa Ford, ambaye akiwa msibani hapo amepiga stori na Global Tv na kumzungumzia mtoto huyo pamoja na vuguvugu linaloendelea mitandaoni kuhusiana na baba mzazi wa mtoto Patrick.



Shamsa amesema yeye si mtu wa karibu sana na Muna lakini anajua kwamba aliwahi kuolewa na hapo walipo nyumbani kwa Peter ndiyo kwa baba mzazi wa mtoto, kwa upande wa Casto anamfahamu kama mtangazaji tu wa kituo cha Runinga cha Clouds Tv.

Top Post Ad

Below Post Ad