Timu ya taifa ya England Yaua Mtu na Kuingia Nusu Fainali


Timu ya taifa ya England imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya Kombe la Dunia Urusi kwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Sweden. 

Mabao ya England yamefungwa na Harry Maguire (30') pamoja na Dele Alli aliyefunga katika dakika ya 58 ya kipindi cha pili. 

Ushindi huo unawafanya England kuingia hatua hiyo ya nusu ikiwa ni baada ya miaka 24 ambapo mara ya mwisho ilikuwa 1990. 

Baadaye majira ya saa 3 kamili usiku, Croatia watakuwa kibaruani kukipiga dhidi ya wenyeji Urusi. 

Kumbuka tu kuwa mechi zote hizi zinaonekana mbashara kupitia king'amuzi cha Star Times.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad