VIDEO: Waitara Adai Kupokea Vitisho Kutoka kwa Mbowe, Amtaja Tundu Lissu na kifo cha Chacha Wangwe

Mbunge wa Jimbo la Ukonga kupitioa Chadema, Mwita Waitara ambaye Jumamosi hii ametangaza kuhamia CCM, amefunguka kuwa amepata vitisho vingi kutoka kwa Freeman Mbowe tangu alipotangaza kuwania Uenyekiti ndani ya Chama hiko. Pia amemtaja Tundu Lissu ambaye alipendekezwa na baadhi ya Wabunge kuwania kiti hicho na kifo cha marehemu Chacha Wangwe.

TAZAMA VIDEO HIYO HAPA CHINI:

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad