VIDEO:Taji la Miss Mwanza 2018 limemuangukia Sharon Hedlam

Mashindano ya kumpata mrembo wa Jiji la Mwanza 2018 yamefanyika usiku wa July 06, Rock City Mall, ambapo mrembo Sharon Headlam amekuwa mshindi wa kwanza na ndio atayeiwakilisha Mwanza kwenye mashindano ya Miss Tanzania 2018.

VIDEO:

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad