Waziri Lugola Amtaka Zitto Kujisalimisha Polisi

Waziri Lugola Amtaka Zitto Kujisalimisha Polisi
Leo Julai 31 Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi Kangi Lugola amemtaka Mbunge wa Kigoma mjini Zitto Kabwe kujisalimisha kituo kikuu cha polisi Lindi kutokana na kitendo cha kukaidi agizo la Rais Magufuli kwa mbunge yeyote kutofanya shughuli za mkutano tofauti na jimbo lake.

Hatua hiyo imekuja baada ya Zitto Kabwe kuhutubia na kutoa kauli za uchochezi kwenye mkutano ulioandaliwa na Mbunge wa Kilwa Kusini Selemani Bungala maarufu Bwege uliofanyika Julai 29 mwaka huu
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad