Breaking: Mbunge Mwingine CUF Ajiunga na CCM Apokelewa Lumumba

Mbunge wa CUF Aliyehamia CCM Apokelewa Lumumba
Mbunge wa Liwale kupitia CUF, Zubeir Kachauka aliyejivua ubunge wake na uanachama wake na kujiunga na CCM hivi karibuni  leo amepokelewa katika ofisi za Makao Makuu ya Chama cha CCM na Katbu Mkuu wa Chama hicho, Dk Bashiru Ally
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad