Chris Brown Apagawa na Umbo la Rihanna Akiwa na Bikini, Ataka Asipunguze Mwili


Baada ya mwanamuziki kutoka Marekani Rihanna kuliambia jarida la VOGUE mipango yake ya kurudi gym kwa ajili ya kupunguza mwili, mpenzi wake wa zamani ambae pia ni mwanamziki maarufu duniani, Chris Brown ameonekana kusikitiswa na kauli aliyosema Rihanna kwamba atarudi gym kupunguza mwili kwani Breezy anapenda muonekano wa mwili wa mwanadada huyo, jinsi alivyoongezeka mwili na jinsi anavyopendeza akivaa bikini, alisema rafiki wa karibu na Chris Brown kupitia HollywoodLife. - #regrann

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad