Diamond Ajibu Ishu ya kuvaa Kikuku ‘Wanavaa Wahuni Waliotoroka Jela, Mtu Hawezi Kunipangia Kuvaa’

Diamond ajibu ishu ya kuvaa kikuku ‘wanavaa wahuni waliotoroka jela, mtu hawezi kunipangia kuvaa’
Msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz kwa mara ya kwanza amejibu sakata la kuvaa cheni za miguuni almaarufu kama Kikuku ambapo amewasanua watu kuwa kitendo hicho kinatafsiri mbali mbali kulingana na nchi husika.

Diamond kupitia Wasafi TV amesema kuwa kwa Marekani au nchini nyingine mtu kuvaa cheni mguuni anaonekana kama shujaa ambaye ametoroka jela.

Pia Diamond amedai kuwa hakuna mtu ambaye anaweza kumbadilisha kwenye mavazi kwa sababu anavaa kile anachokitaka na kama atamfuatilia ataumia tu kwani fasheni kila mtu ana fasheni yake na tayari ana watoto watatu na shughuli yake watu wanamjua.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad