Faiza Ally Ashushiwa Mvua ya Matusi Baada ya Kuweka Picha Akiwa Ananyonyesha

Faiza Ally Ashushiwa Mvua ya Matusi Baada ya Kuweka Picha Akiwa Ananyonyesha
Mwanadada Faiza ally  siku ya jana aliacha  watu hoi baada ya kuweka picha akiwa anamnyonyesha mtoto wake wa kiume mdogo huku akiwa ameweka picha ya sehemu yake ya maziwa wazi huku mtoto huyo akiwa ananyonya.

Hii sio mara ya kwanza kwa msanii faiza kufanya hivyo kwa sababu alishawahi kuweka picha kiwa leba anajifungua na kusababisha watu wengi kulalamikia picha hiyo huku ikionekana kama ni udhalilishaji kwa wakina mama kama yeye.

Watu wengi wali-react kupitia picha hiyo huku wakimtukana sana kwa kujikosea heshima yeye mwenyewe na wanawake wenzie kwa sababu maswala kama hayo yalipaswa kuwa si ya kuonyesha mpaka katika mitandao ya kijamii kama anavyotaka kufanya yeye.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad