Hii ndio perfomance ya Sanchez katika michezo ya kirafiki Marekani

Hii ndio perfomance ya Sanchez katika michezo ya kirafiki Marekani
Mchezaji wa Manchester United, Alexis Sanchez usiku wa jana alisaidia klabu yake kushinda mechi ya kirafiki jumla mabao 2 – 1 dhidi na Real Madrid huko Miami nchini Marekani.

Raia huyo wa Chile alisaidia klabu yake kushinda mchezo huo kwani aliifungia goli dakika ya 1`8 na kutoa assist kwa Hererra dakika ya 27 ingawa goli la Madrid lilipatikana kupitia Benzema dakika ya 45,hivyo hadi mwisho wa mchezo Mancester United 2-1 Madrid.

Sanchez ameonyesha kiwango kikubwa mno kwenye mchezo huo dhidi ya mabingwa wa kihistoria wa klabu bingwa barani Ulaya klabu ya Real Madrid baada ya kufunga bao la kwanza na lamapema.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad