Jackline Wolper Alizwa na Wezi, Aonyesha Masikitiko Yake

Jackline Wolper Alizwa na Wezi, Aonyesha Masikitiko Yake
Mwanadada Jackline Wolper ameonyesha kusikitishwa na kitendo cha watu wanaofanya kazi ya kuiba navyorudisha nyuma maendeleo na kumvunja mtu moyo katika kitu kikubwa alichotaka kuwekeza au kukifanya kwa wakati huo.

Pamoja na kwamna mwanadada huyo hajasema moja kwa moja ni kitu gani amekumbana nacho au ameibiwa nini na ni wapi kati ya nyumbani kwake ao ufisini lakini katika ukurasa wke wa instagram , ameandika caption iliyofanya ielewekek kuwa hivi karibuni Jackline alilizwa na wezi.

Jackline aliandika ‘I cant , Mungu nipe nguvu” huku akiweka picha hii katika ukurasa wake

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad