Makamba "Nawashangaa Wanaoshangaa Mtatiro Kuhamia CCM..Lowassa na Sumaye Je?


Katibu Mkuu wa zamani wa CCM Yusuf Makamba amesema wanaoshangaa hatua ya Julius Mtatiro kutoka CUF, kuingia CCM wanapaswa kujiuliza kama walishangaa wakati mawaziri wakuu wa zamani, Edward Lowassa na Frederick Sumaye walipohamia upinzani.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad