Maneno ya Mitandao Yamficha Mtoto wa Wellu Sengo.


Mwanadada kutoka bongo movies Wellu Sengo amefunguka na kusema kuwa kwa muda wa mwaka mmoja alimuweka mtoto wake chini ya kapeti na kumficha ili tu kuogopa maneno ya waja yanayozungumzwa katika mitandao ya kijamii.

Mtoto huyo wa Wellu ambae alibahatika kuzaa na msanii mwenzie steve nyerere alikuja kujuliakna kwa watu na katika mitandao baada ya kutimiza mwaka mmoja na ndipo watu wengi walipokuja kujua pia pia kuwa ni mtoto wa steve nyerere .
Sikumuonyesha mwanangu katika mitandao ya kijamii kwa sababu ya kuogopa maneno ya waja,lakini pia napedna kuwa kimya ili watu waone matokeo.Lakini pia kuhusu ndoa siwezi kuzungumza chochote.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad