Maskini Serengeti Boys...Imeniuma Sana Leo...


Timu ya Vijana ya @serengetiboystz imetolewa katika Mashindano ya kufuzu Mashindano ya CECAFA U-17 AFCON ZONAL QUALIFIER Baada ya kufungwa Goli 3-1 dhidi ya Timu ya Vijana kutoka Uganda katika Mchezo wa Nusu Fainali uliopigwa hii Leo katika Uwanja wa Taifa.

Licha ya Serengeti Boys kutolewa itashiriki Michuano hiyo Mwakani kama Mwenyeji.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad