Mbasha Atoswa na Mpenzi Wake Achumbiwa na Mwanaume Mwingine

Mwanadada aliyewahi kushiriki Miss  Tanzania mwaka 2008 Jackline Chuwa maarufu kama Jack ambae aliwahi kuripotiwa kuwa aliwahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanamuziki wa injili Emmanuel mbasha  amechumbiwa na moja ya wachungaj maarufu huko mkoani Moshi .

Mwanadada huyo ambae aliwahi kuwa katika penzi zito na msanii huyo  amethibitisha hilo na kusema kuwa amechumbiwa hivi karibuni na mchungaji mmoja wa kanisa la kilokole huko Kilimanjaro na wanategemea kufunga ndoa.

Alipotafutwa mrembo huyo alithibitisha hayo kwa kusema “Ni kweli nimechumbiwa na nitaolewa hivi karibuni,jina la mchumba wangu siwezi kulitaja kwa sababu ni mchngaji na kimaadili hairuhusiwi.”

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad