Mchezaji wa Brazil Somalia Ajiunga na Al-Shabab nchini Saudia

Wergiton do Rosario Calmon, kwa jina maarufu Somalia ameichezea klabu ya Ufaransa ya Toulouse kwa takriban miaka mitatu, lakini mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 kutoka Brazil sasa amehamia katika klabu ya Al-Shabab nchini Saudia.

Huku ikiwa jina al-Shabab linalomaanisha Vijana kwa kiarabu sio jina baya , mitandao ya kijamii ilikuwa na haraka kulishirikisha jina hilo na kundi la kijihad mashariki mwa Afrika.

Kundi hilo linalohusishwa na lile la al-Qaeda limekuwa likipigana na serikali ya Somalia inayoungwa mkono na Umoja wa mataifa kwa ,muonhgo mmja uliopita na limetekeleza msururu wa mashambulizi katika eneo hilo.


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad