Mkazi wa Vingunguti Jijini Dar Auawa na Kuporwa Bajaji


Kwa mujibu wa taarifa iliyoletwa na mdau wa JamiiForums inaeleza kuwa aliyeuawa ni bwana Rajab Kilavula mkazi wa Vingunguti Mchongomani

Maiti yake imekutwa maeneo ya karibu na Super Doll barabara ya Nyerere huku akionekana kuuawa kwa kunyongwa

Mwili wa marehemu umehifadhiwa katika Hospitali ya Taifa, Muhimbili


TAZAMA VIDEO MPYA YA ROSA REE HAPA CHINI ALIYOTOA LEO..
HAYO MAUNO SI YA NCHI HII:



Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad