Mobetto, Barnaba na Shilole Wala Shavu Kampeni Ya Be Smart

Mobetto, Barnaba na Shilole Wala Shavu Kampeni Ya Be Smart
Wasanii wa muziki wa Bongo fleva Barnaba Boy Classic na Shilole pamoja na mwanamitindo maarufu Hamisa Mobetto wamekula Shavu baada ya kuteuliwa mabalozi wa TCRA.

Wasanii hao wameteuliwa na Baraza la ushauri la watumiaji wa huduma za mawasiliano (TCRA CCC) kuwa mabalozi wa kampeni ya Be smart inayojihusisha na kuelimisha vijana kuondokana na matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii mashuleni.

Kwenye mkutano na waandishi wa habari wasanii hao wamefunguka kupata shavu hilo nono Lakini pia nafasi watakayo cheza kama mabalozi:

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad