Nyumba ya Rihanna Yazingirwa na Polisi

Nyumba ya Rihanna Yazingirwa na Polisi
POLISI wa Los Angels juzi (Jumatatu) waliizingira nyumba ya mwimbaji Rihanna baada ya kupata wito uliorushwa na mashine “kibahati mbaya” kwamba kulikuwa na  tatizo kwenye makazi yake ya Hollywood Hills.

Polisi walifika kwa mwimbaji huyo maarufu ambaye hakuwepo nyumbani, lakini wakagundua kwamba wito kama huo uliwahi kurushwa na mashine ya Rihhana wakati kuna mtu aliingia bila ya kibali kwenye makazi hayo na kusema alitaka kufanya mapenzi naye, japokuwa si kwa nguvu.

Jamaa huyo hatimaye alifunguliwa mashitaka ya kuingia mahali kwa nia mbaya na kuharibu mali.

Hivyo mashine hiyo ilirudia kitendo hicho kwa bahati mbaya.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad