Picha: Hivi Ndivyo Ilivyokuwa Harusi ya Zabibu Kiba na Abdi Banda

Hivi Ndivyo Ilivyokuwa Harusi ya Zabibu Kiba na Abdi Banda
MCHEZAJI wa timu ya Baroka FC ya Afrika Kusini na timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) na aliyewahi kuzichezea Simba SC ya Dar es Salaam  na Coastal Union ya Tanga, Abdi Banda, alfajiri ya leo Agosti 1, 2018 amefunga ndoa na Zabibu Kiba, ambaye ni dada wa mkali wa Bongo Fleva Ali Kiba kwenye msikiti wa Ahmad al maseeid uliopo Tabata jijini Dar es Salaam.


Mkali wa muziki wa Bongo Fleva, Alikiba ‘King Kiba’ (kulia),  akiwa na Abdi Banda na mke wake Zabibu Kiba.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad