Pretty Kindy "Nikimtaka Mwanaume Hawezi Kunikataa"


Mwanadada pretty kindy amefunguka na kusema kuwa yeye ni msichana mzuri sana kiasi kwamba hakuna hata mwanaume anayetaka kumfuata na akamkataa kutokana na uzuri wake.

Akiulizwa maneno yake kuhusu  kauli yake aliyowahi kuisema kuwa anampenda sana Diamond , Pretty kindy anasema kuwa kwa sasa hawezi kulizungumzia hilo kwa sababu watu wamekuwa wakimtafisri vibaya lakini kwa upande wake akimtaka mwanaume hawezi kumkataa.

mimi ni mwanamke na siwezi nikamkata mwanamke na akaniktaa hata siku moja, lakini maswala ya diamond siwezi kuyaongelea kwa sababu yalishaleta mkanganyiko sana, alafu mimi ni mwanamke mzuri sana sidhani kama ninaweza nikamkata mwanaume na akanikataa.

labda niwe simtaki au ninamjokes lakini kama ni serious hawezi kuktaa, alafu mimi nikiwa serious siweiz kwenda in public kwa sababu mapenzi sio matangazo.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad