Shiloleh Atuma Meseji kwa Rais Magufuli.


Msanii wa muziki shiloleh ametuma salamu zake  kwa Mh rais Magufui na kumtaka aende nyumbani kwake ambapo anafanya shughuli zake za upishi kwa ajili ya kufanya shughuli zake za uuzaji wa chakula.

Shilole anasema kuwa kwa jinsi alivyo na matumaini na Mh rais anaamini kuwa akipata salamu hizo basi anajua kuwa atakuja kwa sababu ana matumainai hayo.

shiloleh ni moja ya wasanii ambao wamekuwa na uhamasishaji sana kuhusu maswala ya jamii na watu wengi wamekuwa wakitamani mafankio yake ukizingatia kuwa mwanadada huy ni moja ya wasanii walipitia maisha magumu kabla ya kufanikiwa.

Namuomba mh rais magufuli aje kwangu aje kula chakula changu pale shishi food ilo ndo ombi langu kubwa kwa mh rais , na ninaona kabisa kuwa matumaini yapo.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad