Shiloleh Kutoa Ngoma na Chriss Brown.


Mwanamuziki Zuwena Mohamed amefunguka na kusema kuwa anatarajia kuusambaza na kupamnua wigo wa muziki wake anaofanya sasa hivi na kwa kulithibitisha hilo amesema kuwa ameanza kuchart na baadhi ya wasanii kutoka nje na mmoja wapo ni msaniiwa kimataifa Chriss Brown.

Akiongea na Lady Hahaa wa kipindi cha african wired kutoka Clouds Media, Shiloleh anasema kuwa alimtumia meseji Chriss Brown wiki hii na alipomuuliza kama anamjua msanii huyo wa kimataifa alikiri kujua na kwamba wanajianda kufanya nae kolabo.


Shiloleh anasema kuwa hata alipomtumia smsm DM , chriss brown alimpongeza kwa jitihada zake katika muziki na katika kujifunza lugha ya kingereza na pia wamekubaliana kutoa nyimbo ya pamoja.

 I was calling the message on DM on instagram, i went hii bro its me shishi baby and he say oooh youu, and i  say yeah its me.-aliongea shiloleh hukua akiojitahidi kuongea na kingereza chake cha kusuasua na kusema kuwa alipomuuliza chriss kuhusu kumjua alijibu kuwa anamjua na anaijua Tanzania.

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. wewe shishi ni muongo halafu mbona ile kolabo na Nicki minaj bado hatujaiona ulisema zamani za kale kuwa ungefanya kolabo na Nicki Minaj mpaka leo kimya

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad