Stamina wa Rostam aonyesha Barua ya Kuitwa Basata Jana Kujadili Wimbo wa Parapanda..Kupinga Kauli ya Basata


Baada ya Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) kudai kwamba Roma Mkatoliki na Stamina hawakuitwa na baraza hilo Jana kwaajili ya wimbo wao mpya ‘Parapanda’ na kudaiwa wanatafuta kiki, Stamina ameamua kuweka wazi kila kitu baada ya sakata hilo kuonekana kuchukua sura mpya.

Stamina Ameandika Hivi Kupitia Ukurasa wake wa Instagram  -

" Sisi kama ROSTAM Tunaamini kile tunachokifanya na hatujawahi kufanya mziki kwa mlengo huo wa kiki ,Mwenye uelewa ukisoma hiyo barua utaelewa kama tunatafuta kiki au kweli tuliitwa kwa ajili ya wimbo wa parapanda.
Hata hvyo tunawashukuru BASATA kwa kuthibitisha mbele ya umma leo kua nyimbo haijafungiwa.
Pia Tunashukuru mashabiki kwa kuendelea kuSupport mziki wetu, naomba tuendelee kuuchagua wimbo wetu kwenye media mbalimbali

#Hatuongeitena
#achagomaliendelee

Asante

Barua ya Basata iliyopostiwa na Stamina kwenye Instagram:

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad