Steve Nyerere Amfananisha Idris na Fransis Cheka

Steve Nyerere Amfananisha Idris na Fransis Cheka
Mchekeshaji maarufu nchini  steve nyerere amefunguka na kusema kuwa watu wanakosea sana wanapotaka kumfananisha yeye na idrisa sultan kwa sababu hawawezi kulingana hata siku moja.

Wawili hao ambao wote ni wa tasnia ya uchekeshaji wamekuwa wakifanya vizuri comedy na kila mtu kwa style yake na huku kila mmoja akiwa na mashabiki wake.

Hata hivyo kutokana na jinsi idris amekuwa akitania sana wasanii wenzie katika mitandao ya kijamii na hata kutoa kituko cha skendo zinazondelea kumkabili steve nyerere, steve nasema kuwa haweiz kujibishana na idris kwa sababu wao ni watu wawili tofauti ni sawa na van dame na fransis cheka.

siwezi kushindana na idrisa maana kushindana na idrisa ni sawa na teke la van dame na fransis cheka, hivyo ni vitu viwili tofauti.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad